KARIBU NG'S_CLINIC

MADHARA YA SINDANO,VIDONGE ,KIJITI NA KITANZI KWA UZAZI WA MWANAMKE


 🔴 *MADHARA YA SINDANO ZA KUZUIA MIMBA*


👉🏻Usumbufu wa hedhi
👉🏻Kuumwa kichwa mara mara
👉🏻Kizunguzungu
👉🏻Kichefuchefu
👉🏻Kuongezeka uzito usiokuwa na faida
👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa
👉🏻Kusababisha Uvimbe kwenye kizazi (fibroids)


🔴 *MADHARA YA VIDONGE VYA KUZUIA MIMBA*

👉🏻Huathiri fuko la uzazi kwa ndani na kusababisha uvimbe
👉🏻Kuongeza uzito wa ute utokao katika njia ya uke ili kuzuia mimba kutunga
👉🏻Kuumwa kichwa mara mara
👉🏻Kupata kichefuchefu
👉🏻Kutopata hedhi kwa baadhi ya wanawake
👉🏻Kubadilisha mwenendo wa damu
👉🏻Kuliathiri ini kidogo kidogo
👉🏻Kupata kisukari
👉🏻Kupata ugonjwa wa moyo
👉🏻Kupooza upande mmoja wa mwili.
👉🏻Kupunguza hamu ya tendo la ndoa

*🔴MADHARA YA KIJITI*

👉🏻Husababisha saratani za aina mbali mbali
👉Kuchanganyikiwa kiakili
👉🏻Shinikizo la damu
👉🏻Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa.
👉🏻Kusababisha ukavu uliopitiliza kwenye uke hivyo kusababisha vidonda
👉🏻Kupunguza kwa kasi kubwa hamu ya tendo la ndoa


*🔴MADHARA YA KITANZI*

👉🏻Utokaji ovyo wa damu
👉🏻Kutoboka fuko la uzazi
👉🏻Kuongezeka kwa upana wa uke na kuifungua lupa na kufungwa kwa uzazi.
👉🏻Kitanzi kufyatuka na kusababisha upasuaji
👉🏻Kuondoa hamu tendo la ndoa.


Kama umeshaathirika na moja Kati ya njia hizi karibu tuku saidie kwa kupiga simu namba;
+255758077020
         Au
+255622198368

Post a Comment

0 Comments