🏵️🏵️ SIPATI UJAUZITO NA MZUNGUKO WANGU WA HEDHI UKO SAWA, TATIZO NI NINI !!? 🏵️🏵️ 🥌 Hili Ni Swali Letu la Wiki Katika Mwendelezo Wa Kujibu Maswali Hasa ya Upande wa Uzazi Kwa Wanawake.
⭕ Ni kweli kua Wanawake Wengi Wanapitia Changamoto Hii Ya Kutopata Ujauzito Ili hali Mizunguko yao ya Hedhi Iko Sawa, 🍎Kimsingi Kuna Sababu Mbalimbali Zinazoweza Kupelekea Mwanamke Kutobeba Ujauzito na Kua Mgumba na Sababu Hizo Ni kama ifuatavyo:-
➡️- Kuziba kwa mijrija ya kupitisha mayai ➡️- Ovari kushindwa kutoa mayai ya uzazi au kutoa mayai isiokuwa na nguvu (lazy egg).
🅾️ Mirija ya kupitisha mayai inaweza kuziba kutokana na; ➡️- Ugonjwa wa Pelvic Inflammatory Disease (PID) ambao unatokana na magonjwa ya zinaa yasiyotibiwa kama kisonono na klamidia. ➡️- Mirija ya mayai kujaa maji ➡️- Utoaji mimba usio salama (unsafe abortions) ➡️- Upasuaji maeneo ya kiunoni ➡️- Ugonjwa wa endometriosis
🅾️ Ovari kushindwa kutoa mayai ya uzazi inaweza kutokana na; ➡️- Umri mkubwa wa mwanamke, hasa miaka 35 – 40 na kuendelea. ➡️- Uvutaji wa sigara - Saratani ya Ovari ➡️- Mionzi (radiations) ➡️- Ugonjwa wa Polycystic ovarian disease (Ovarian Cyst) Sababu nyingine za ugumba kwa mwanamke zinaweza kuwa; ➡️- Makovu katika mji wa uzazi kutokana na kutoa mimba. ➡️- Mabonge ya kizazi (uterine fibroids) ➡️- Kuziba kwa shingo ya uzazi - Kulegea shingo ya uzazi - Kisukari
🎯 USHAURI WANGU KWAKO
🔘 Kama Wewe Unapatia Changamoto Hii Ni Vema Sana Kufanya Vipimo Ili Kua na Majibu Ya Hakika na Ndipo Utajua namna ya Kujitibia
🌹Inawezekana Ukawa Una changamoto yoyote Ya Uzazi au Ya Kiafya Kwa Ujumla, 🩸 Dawa Zetu ni Tiba Lishe na 🩸 Dawa Asil Zenye Uwezo wa Kutibu,kukinga na kusafisha Mwili. Kwa mawasiliano zaidi; +255758077020 Au +255622198368
Post a Comment
0
Comments
JE UNA SUMBULIWA NA MAGONJWA YA KUTOKWA NA UCHAFU UKENI (PID), UTI SUGU, FANGASI, MATATIZO YA HEDHI, MVURUGIKO WA HOMONI(HORMONAL IMBALANCE), KUTOSHIKA MIMBA N.K...
Karibu tuku saidie wasialiana nasi kwa njia ya
Whatsapp/call:
+255758077020
Au
+255622198368
Karibu sana....
*N.G's_clinic care comes with us*🧑🏽⚕️🩺
0 Comments